COME AND SEE ANIMATED HEADER

WIMBO WA UPENDO NKONE WA HALELUYA AKIWA COLUMBUS U.S.A

Tuesday, March 19, 2013

GOSPEL IN AFRICA: Africori director Mr. Kenan Zim to Sign Online Dea...

GOSPEL IN AFRICA: Africori director Mr. Kenan Zim to Sign Online Dea...:                                                                 Africori Boss Mr. Yoel Kenan FORMER Europe Sony Records vice p...

Monday, March 4, 2013

KARIBU KWEYE TAMASHA LA KIHISTORIA LILOWAKUSANYA WAIMBAJI WAKONGWE WA ZAMANI TAREHE 17/3/2013 KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE



 lile tamasha la kihistori ambalo limewakusanya waimbaji binafsi , kwaya na Band kongwe sasa zimebakia wiki mbili kuweza kufanyika ni tarehe 17/3/2013 katika ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia saa 7:00 mchana hadi saa 12:00 jioni , watu  na wadau wa muziki wa injili wanaombwa waipitwe na tukio jili muhimu wajitokeze kwa wingi kuwapa ushirikiano waimbaji wetu wa zamani. Come and see promoters inawaomba wale wote wenye blog zao kuweza kusaidia kulitangaza Tamasha hili ili watanzania na wadau wa muziki wa injili wasipitwe na tukio hili muhimu.






N
 NEW LIFE BAND MOJA YA KUNDI KONGWE LITAKALO IMBA KWENYE TAMASHA
M
MFANO WA TUZO ITAKATOTOLEWA KWA WAKONGWE WA MUZIKI WA INJILI
GOGE JABILI KIONGOZI WA LULU KWAYA ATAONGOZA SAFU YA KWAYA YAKE

M 

MARTINI UBWE MOJA YA MASOUND ENGINER WA TAMASHA

LINKWITHIN

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...