COME AND SEE ANIMATED HEADER

WIMBO WA UPENDO NKONE WA HALELUYA AKIWA COLUMBUS U.S.A

Monday, February 25, 2013

MUIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI UPENDO KIRAHILO NA AMONI KILAHILO SASA KUSHILIKI KATIKA TAMASHA KUBWA LA WAKONGWE WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA

Jumapili hii mratibu mkuu na muandaaji wa Tamasha la Wakongwe wa muziki wa injili Tanzania bwana Emmanuel Ezekiel ( Pastor Pepea ), alifanya kikao kikubwa na Amoni na Upendo kirahilo jumapili hii na kukubali kushiliki katika Tamasha kubwa la kuwaenzi wakongwe wa muziki wa injili Tanzania. Amoni na Upendo kirahilo ni moja ya waimbaji wakongwe watakao lishambulia jukwaa la Tamasha la wakongwe wa muziki wa injili Tanzani. Tamasha hili linatarajia kufanyika tarehe 17 March 2013 katika ukumbi mkubwa wa Diamond Jubilee kunzia saa 8:00 mchana hadin saa  12:00jioni.Katika Tamasha hili kunatarijiwa kutolewa tuzo za heshima ili kutambua mchango wao mkubwa walioutoa katika kuinua na kuendeleza muziki wa injili Tanzania.Upendo na Amoni kirahilo wamewaomba watanzania wote, wadau wa muziki wa injili kujitokeza kwa wingi ili kushuhudia kile ambacho wakongwe wa muziki wa injili wamekiandaa kwajili yao.

 
UPENDO KIRAHILO

Upendokirahilo katika moja ya huduma zake.

Upendo kirahilo

Upendo Kirahilo

Upendo Kirahilo

Upendo kirahilo katika moja ya huduma zake.

Upendo kirahilo ameahidi kufanya onyesho la nguvu na kudhihilisha kuwa yeye ni mkongwe katika muziki wa injili. Upendo alianza kuimba akiwa bado ni binti mdogo, amewataka waimbaji wachanga kuja kujifunza kutoka kwa wakongwe wa muziki wa injili kama wanataka kuendelea kufanya vizuri katika mziki wao na kudumu kwa mda mrefu.


No comments:

Post a Comment

LINKWITHIN

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...