COME AND SEE ANIMATED HEADER

WIMBO WA UPENDO NKONE WA HALELUYA AKIWA COLUMBUS U.S.A

Monday, February 25, 2013

WAIMBAJI WAKONGWE WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA WAJIPANGA WAINGIA KAMBINI


Waimbaji wa muziki wa injili Tanzania Charles Jangarasoni, Mzungu four, Masaga nyanda,Efrahimu mwasasu sasa waingia kambini kujifua kwajili ya Tamasha kubwa la wakongwe wamuziki wa injili Tazania , wakiongea kwa nyakati tofauti na mratibu wa Tamasha hili Bwana Emmanuel Ezekiel, Wamesema kuwa Mungu atashuka siku hiyo kwa kuwa wameanza maombi ya kufunga na kuomba kwajili ya kuliombea Tamasha hili la kipekee, Na wameahidi kuwa watanzania watarajie vitu vya tofauti ambavyo walikuwa wamevimisi kutoka kwako.Tamasha litazinduliwa rasmi tarehe 17/3/2013 katika ukumbi wa diamond jubilee.Mara baada ya uzinduzi wa tamasha hili litaelekea mkoa wa Arusha , Mwanza, Mbeya Iringa Dodoma, Singida,Kigoma, Tabora na Mtwara na litakuwa likifanyika kila mwaka likijumuisha wakongwe pekee wa muziki wa injili Tanzania.


Askofu Charles Jangarasoni mmoja ya waimbaji watakohudumu

Nathaniel Hingi toka Moshii

Mchungaji Mzungu Four

Askofu Jangarason

Mchungaji Ency Mwalukasa

Pastor Safari

No comments:

Post a Comment

LINKWITHIN

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...