COME AND SEE ANIMATED HEADER

WIMBO WA UPENDO NKONE WA HALELUYA AKIWA COLUMBUS U.S.A

Saturday, October 20, 2012

SHIRIKIANA NA ROSE MHANDO KUIMBA WIMBO WA "NDIVYO ULIVYO"



BONYEZA HAPA KUONA ALICHOKIIMBA


BETI YA KWANZA

Naona kama maono, kumbe ndivyo ulivyo  Mkuu
Naona kama maono, kumbe ndivyo ulivyo  ooooh
Nilidhani kama ndoto, kumbe ndivyo ulivyo

Nilifikiri nachanganyikiwa kwa kusema hivi, kumbe ndivyo ulivyo ooh
Umekuwa mpole, umekuwa mwenye huruma, kumbe ndivyo ulivyo ooh

Simwepesi wa hasira, Baba ni mwingi wa rehema, ndivyo ulivyo ooh

Wewe, unatuwazia mema, kuliko tunavyodhani, ndivyo ulivyo ooh
Mawazo Yako hayafanani na mawazo ya wanadamu, Baba,  ndivyo ulivyo ooh

Nani kama Wewe,  mwepesi wa kusamehe, ndivyo ulivyo ooh
Wema wako haueleweke katikati ya wanadama Jehova, wewe,  kumbe ndivyo ulivyo ooh
----------------------------------------------------------
KIITIKIO

ROSE Ndivyo ulivyo, Ndivyo ulivyo, Ndivyo ulivyo ooh  Hakuna kupinga

ROSE: Baba
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo x2

ROSE: Ndivyo ulivyo
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Baba
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Babaaa, hakuna kupinga
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Wewe Mungu wa amani
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Mungu wa mapenzi mema
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Baba oooohooo
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE Babaa
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo, Hakuna wa kupinga

ROSE: Wewe si mwepesi wa hasira
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Ndivyo ulivyo
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Huangalii mabayaWAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Babaaa
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo, hakuna kupinga

ROSE: Wewe unatuwazia mema
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo
ROSE: Babaaa oh
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: HaleluyaWAITIKIAJI: Ndivyo ulivyoROSE: Baba
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo hakuna kupinga

ROSE: Nasema kumbe
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyoROSE: Kumbe ndivyo ulivyo
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo
ROSE: BabaaaWAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo, hakuna kupinga

--------------------------------------------

BETI YA PILI

Tulia kwa Mungu, hushuka na kutufariji
Baba, kumbe ndivyo ulivyo ooh

Usiku na mchana hulali usinzi
Mungu uliye hai, ndivyo ulivyo ooh

Pale, tusipoweza kutenda wenyewe kwa mikono yetu Yehova, ndivyo ulivyo ooh
Huingilia kati yale yote tunayoshindwa, wewe, ndivyo ulivyo ooh

Msaada wakati tunapochoka, Yeeeeehova, ndivyo ulivyo ooh
-------------------------------------------------------

KIITIKIO
ROSE: Ndivyo ulivyo ooh x3, Hakuna kupinga

ROSE: Wewe Umepanda milimani
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Ndivyo ulivyoo
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE:  aah..oooh
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Baba
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo, Hakuna kupinga

ROSE: Mungu wewe, mwenye mamlaka
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Ndivyo ulivyo, Baba
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: weweeee hee
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Baba
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo hakuna kupinga

ROSE: Uliyeketi mahali pa juu
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Mungu Uliye hai
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Yeeehova ataishi
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Ndivyo ulivyo
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo, Hakuna kupinga

ROSE: Huhesabu mabaya yetu
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Wala hutazami dhambi zetu
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Babaaa oh
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo hakuna kupinga

ROSE: Nasema kumbeeee
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Kumbeee
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Kumbeee, ndivyo ulivyo
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Baba
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyohakuna kupinga

ROSE: weweeeee
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Ndivyo ulivyoo
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Hakuna kupinga
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Oooh Baba
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo hakuna kupinga

BETI YA TATU

Mungu,  uliwakusanya walioachwa,  ukawakumbatia, Baba,ndivyo ulivyo ooh
Waliokosa, tumaini, huweka tumaini jipya kwao, ndivyo ulivyo ooh

Waliokataa tamaa wewe unawatia nguvu, Baba, ndivyo ulivyo ooh
Vile nionavyo mimi, si kama wewe utazamavyo Baba, kumbe ndivyo ulivyo ooh

Huruma zako zimevuka vilindi vya bahari, Weweeeee eh, kumbe ndivyo ulivyo, hakuna kupinga
----------------------------------------------------------------
KIITIKIO
ROSE: Eeeeh
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Ndivyo ulivyo
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Babaaaa eeh
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Baba
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo, hakuna wa kupinga

ROSE: Baba nakuinua Wewe
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Nakuambudu wewe
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Hivi ndivyo ulivyo
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Babaaa ahaa
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Nakushukuru Ulivyoniumba
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Umenikumbuka
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Kumbe ndivyo ulivyo
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo, hakuna kupinga

ROSE Umenitete mbele ya wenye nguvu, Yehova
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Ndivyo ulivyo,Baba yangu
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo, hakuna kupinga

ROSE: Wacha nikuinue wewe
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Wacha nikuabudu wewe
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Ndivyo ulivyo, Babaa
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Wacha nikuinue wewe
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Nisimulie matendo yako
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Babaaa
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Acha nikuimbie wewe
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Kwa sauti yangu
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Yehooovaaaa
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: ooooooohhhh
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo, hakuna kupinga

ROSE: yeeeeeeheeeee
WAITIKIAJI: Ndivyo ulivyo

ROSE: Wewe ndivyo ulivyo

MUNGU AKUBARIKI
Mwandishi: Rulea Sanga

No comments:

Post a Comment

LINKWITHIN

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...