COME AND SEE ANIMATED HEADER

WIMBO WA UPENDO NKONE WA HALELUYA AKIWA COLUMBUS U.S.A

Saturday, October 20, 2012

UNAJUA MTUME NA NABII JOHN SIMON KOMANYA ANAIMBA NA KUMILIKI BAD YA JOY BAND

Mtume na Nabii John Simoni Komanya wa kanisa la furaha "Cathedral of Joy" ambaye anajulikana sana kwa nyimbo yake ya "Zawadi Gani Mimi Nitamtolea Bwana Wangu..." kwa sasa ana Band inayoitwa JOY Band inayofanya vizuri sana katika kazi ya Mungu.

Mtume John Simon Komanya akiwa na baadhi ya viongozi katika huduma ya Cathedral of Joy wakibariki waumini

 Mtume John Simon Komanya katikati akiwa na mwimbaji wa nyimbo za injili Bahati Bukuku kushoto na mchezaji wa Bukuku

Cathedral Joy Band wakiwa katika uimbaji. Kutoka kushoto ni Boniface Kachale, George Barnabas, Chillchala, Mhando Mkomwa, Peter Chikoga, Rehema


No comments:

Post a Comment

LINKWITHIN

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...