COME AND SEE ANIMATED HEADER

WIMBO WA UPENDO NKONE WA HALELUYA AKIWA COLUMBUS U.S.A

Saturday, October 20, 2012

WASANII WA NYIMBO INJILI TANZANIA

Baadhi ya waimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania ambao uimbaji wao umekuwa na faraja ndani ya mioyo ya watu. Mungu amewapa karama hiyo ya uimbaji ili kuokoa roho za watu na kuwaleta watu kwa Mungu. 
Pia kazi yao kubwa ni kumtukuza Mungu kwa njia ya sifa.
Christina shusho
Upendo Kilahiro(kulia) na Upendo Nkone (kushto)
Upendo Kilahiro akiwa na wapenzi wake jukwaani

Kutoka kulia ni Ephraim Sekeleti kutoka Zambia, Upendo Kilahiro (Tanzania), Upendo Nkone (Tanzania) wakiwa katikavyumba vya VIP uwanja wa Taifa kipindi cha Pasaka katika tamasha la Msama Promotion
Kushoto ni Upendo Nkone katika tamasha la Msama Promotion katika uwanja wa Taifa.
Mwimbaji wa nyimbo za Injili na Mchungaji mtarajiwa Masanaja Mkandamizaji

Mwimbaji wa nyimbo za injili, Bahati Bukuku

Mwimbaji wa nyimbo za Injili na mtangazaji wa Praise Power, Victor Aloni

Mwimbaji wa nyimbo za injili, Rose Mhando


Mwimbaji wa nyimbo za injili, Bony Mwaitege

No comments:

Post a Comment

LINKWITHIN

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...